Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa rai hiyo wakati akihutubia viongozi mbalimbali (hawapo pichani)kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World Innovation Summit for Health) uliofanyika hii leo Doha nchini Qatar.

4 Oct . 2022

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

4 Oct . 2022