Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UN yasikitika Afrika Kusini kujitoa ICC

Saturday , 22nd Oct , 2016

Hatimaye imethibitika kuwa Afrika Kusini imejitoa kwenye mkataba wa Roma ulioanzisha Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, (ICC).

Jacob Zuma

Afrika Kusini iliripotiwa kuwasilisha barua mbele ya Umoja wa Mataifa ikieleza kuwa imefikia hatua hiyo kwa sababu kuwa mwanachama wa ICC kukinzana na sheria ya nchi hiyo ya haki na kinga za kidiplomasia.

Akizungumzia hatua hiyo mbele ya wanahabari mjini New York, Marekani, msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amethibitisha kupokea barua hiyo na sasa inashughulikiwa na idara ya masuala ya sheria.

 

Dujarric amesema kuwa Katibu Mkuu Ban Kin Moon amesikitishwa sana na uamuzi wa serikali ya Afrika Kusini kwa kuwa nchi hiyo ilikuwa na mchango mkubwa ICC kwa kuwa ilikuwa ni miongoni mwa nchi za mwanzo kutia saini mkataba huo.

Uamuzi huo wa Afrika Kusini unamaanisha kuwa mwaka mmoja kuanzia sasa nchi hiyo haitakuwa tena mwanachama wa ICC.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini