Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wamkataa kiongozi wao

Saturday , 20th Apr , 2019

Wananchi wa Kijiji cha Igombola Kata ya Lupembe wilayani Njombe wamesema hawana Imani na Mwenyekiti wao wa kijiji aliyejulikana kw ajina la Josephati Kiluka kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maendeleo na kudai kuwa anafanya kazi kwa maslahi yake binafsi.

Wakizungumza kwa wakati tofauti wananchi hao wamesema hawana imani na mwenyekiti huyo kwa kubadili mahali ambapo miradi ya maendeleo na kuyapeleka sehemu ambayo ni tofauti na makubaliano ya wananchi.

Wananchi hao wameeleza kuwa licha ya kubadili miradi ya maendeleo na kuielekeza tofauti wamesema pia amehujumu miradi ya maji katika kijiji hicho na bado imekuwa na changamoto kutokana na usimamizi mbovu wa kiongozi huyo.

Akijibu madai hayo Mwenyekiti Josephati Kiluka amedai kuwa taarifa zilizotolewa na wananchi hao kuwa hazina ukweli, na kusema miradi hiyo imeshindwa kukamilika kwa wakati kutokana na baadhi ya viongozi kuweka siasa kwenye miradi hiyo.

"Tatizo kubwa wanasiasa kwa sababu huwa wanaongea kuwafahadaa wananchi, lakini miradi mingi ya maendeleo imekwamba kutokana kuwekwa siasa, lakini hayo madai wanayotoa dhidi yangu si kweli." amesema mwenyekiti huyo Josephati  Kiluka

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao