Naibu katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, akimkabidhi Meya wa Manispaa ya Moshi Mjini, Mhe. Mhandisi Zuberi Kidumo, nyaraka za umiliki wa kituo cha afya Moshi-Arusha katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Katikati ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Jairy Khanga.

7 Oct . 2022

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia Mjema

7 Oct . 2022

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Ruvuma Chini

7 Oct . 2022