Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Ahmad Ahmad

23 Nov . 2020

Aliyekuwa mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Tundu Lissu

23 Nov . 2020

Wa pili kulia Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Aboubakari Kunenge akisikiliza maelezo ya utendaji kazi kitengo cha dharura cha hospitali ya taifa ya Muhimbili

23 Nov . 2020

Kushoto ni mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson, na kulia ni mbunge mstaafu wa jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu).

23 Nov . 2020

Zlatan Ibrahimovic (Katikati) akipongezwa na mlinzi Theo Hernandez (Kulia) baada ya kupachika bao katika mchezo dhidi ya Napoli.

23 Nov . 2020

Wachezaji wa Yanga na Namungo wakizozana katika mchezo wa jana wa VPL uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.

23 Nov . 2020

Mohamed Salah (Pichani) akishangilia baada ya kupachika bao wakati Liverpool ilipotoka sare na Everton.

23 Nov . 2020

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde.

23 Nov . 2020