Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Ahmad Ahmad
Aliyekuwa mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Tundu Lissu
Wa pili kulia Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Aboubakari Kunenge akisikiliza maelezo ya utendaji kazi kitengo cha dharura cha hospitali ya taifa ya Muhimbili
Kushoto ni mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson, na kulia ni mbunge mstaafu wa jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu).
Zlatan Ibrahimovic (Katikati) akipongezwa na mlinzi Theo Hernandez (Kulia) baada ya kupachika bao katika mchezo dhidi ya Napoli.
Wachezaji wa Yanga na Namungo wakizozana katika mchezo wa jana wa VPL uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
Mohamed Salah (Pichani) akishangilia baada ya kupachika bao wakati Liverpool ilipotoka sare na Everton.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde.
