Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dayna ataja kinachowatia njaa wasanii

Tuesday , 28th Mar , 2017

Mwanamuziki Dayna Nyange mwenye ‘hit song’ ya ‘Komela’amefunguka yake ya moyoni na kusema wasanii wanakufa njaa kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu kwa sasa mpaka kupelekea kukosa kufanya matamasha ya kimuziki.

Dayna Nyange

Mrembo huyo amedai kuadimika kwa ‘show’ kumechangia kwa wasanii wote kuwa hali mbaya maana wengi wao wanategemea kuingiza kipato kutumia kazi hiyo huku akiwashauri wenzake wasitegemee sanaa pekee yake.

“Kwenye muziki mambo yamekuwa ‘tight’si kama zamani na siyo kwenye muziki wetu wa bongo fleva, mimi nazungumza na watu wanaofanya mpaka muziki wa dansi nao wanalia njaa hivyo hivyo, mifukoni hakuna kitu na ili kupata chochote mtu inabidi kupambana kweli kweli kutafuta namna ya kupiga show na kutotegemea muziki pekee”. Alisema Nyange

Pamoja na hayo msanii huyo ameeleza pia uchache wa mapromota umechangia kwa kiasi fulani wasanii hao kulalamika njaa kwa kuwa walishazoeshwa kipindi cha miaka ya nyuma kutafutiwa show na watu hao hivyo maisha yao yalikuwa laini.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini