Mchekeshaji na Msanii wa BongoFleva Ebitoke akiwa na kaka yake Kitenge Comedian
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA, Halima Mdee
Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso
Mlinzi wa Klabu ya Barcelona, Gerard Pique akihuzunika baada ya kipigo cha aina yake walichokipata kutoka kwa Bayern Munich.
Msanii Mr Blue kutoka upande wa kulia, kati mtangazaji Dullah Planet na kulia ni Lesa Sidi
Kushoto ni Mgombea Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, na kulia ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ulrich Matei.
Mjumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF, Zacharia Hans Poppe akiwa katika moja ya mechi ya Klabu yake ya Simba.
Trent Alexander-Arnold mshindi wa tuzo ya mchezaji bora kijana wa ligi kuu England EPL, akipiga mpira wa adhabu kwenye moja ya michezo akiwa na Liverpool.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Salum Hamduni.
