
Baadhi ya wachezaji wa AC Milan wakishangilia baada ya kufunga bao kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Italia 'Serie A'.

Kiungo wa Liverpool, Harvey Elliot akionekana kwenye matukio tofauti tofauti baada ya kukwatulia na kiungo wa Leeds United, Paschal Struijik na kupekelea kifundo cha mguu cha Elliot kuteguka ba kumfanya Paschal kuoneshwa kadi nyekundu.

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer (mwenye koti jeusi) akiwa na Cristiano Ronaldo baada ya kumtoa na kumuingiza Jesse Lingaard.

Picha ya kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un

Picha ya Msanii Harmonize na Producer Mr. Simon

Picha ya msanii Rapcha kushoto, kulia ni Paula

Picha ya msanii Dully Sykes

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan