Ikiwa ni miaka 11 imepita tangu Dunia ilipofikisha watu bilioni 7.
Mtangazaji wa East Africa TV na Balozi wa Kampeni ya Namthamini, Najma Paul akiongea na wanafunzi wa shule ya Sekondari Uwemba.
The Ramadhan Brothers wakiwa kwenye studio za East Africa Radio
Nabii Jeremiah akimuombea muumini wake
Mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifurahi na wanafunzi wa Masasi baada ya kumaliza kugawa taulo za kike katika shule hiyo.
Haji Manara na Mke wake Rushayna siku ya harusi yao
Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahusiano wa IPP, Nancy Mwanyika.
Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.
Kutoka kushoto mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifuatiwa na Irene Peter ambaye ni Meneja wa huduma za jamii wa NBC akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahuasiano wa IPP, Nancy Mwanyika na mwisho ni Justine Kessy mtangazaji wa East Africa Radio.
Wawakilishi wa kampuni ya QiPads wakiwa katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.
Wafanyakazi wa SBT wakikabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.
Mhe. Neema Lugangira akiwa studio za East Africa Radio.
Askofu Subira Mitimingi akizungumza na East Africa TV siku ya leo
Kiasi kidogo cha pombe kinaweza kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo na mishipa, kiharusi na kisukari.
