Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya City yaiendea chimbo Yanga

Wednesday , 15th Nov , 2017

Klabu ya  ya Mbeya City inayoshirki ligi kuu soka Tanzania bara leo inatarajia kushuka dimbani kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Coastal Union kwenye uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Meneja wa Mbeya City, Geoffrey Katepa amesema mchezo wa leo ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Yanga kwenye uwanja wa Uhuru jiji Dar es salaam.

Katepa ameeleza kuwa timu imefika jijini Tanga jana usiku kwaajili ya kambi ya muda mfupi ambapo itacheza mchezo wa leo na Coastal Union ambayo inashiriki ligi soka daraja la kwanza.

Baada ya mchezo wa leo timu  itaendelea na mazoezi hadi siku ya ijumaa ambapo itasafiri kwenda jijini  Dar es Salaam tayari kuwavaa mabingwa watetezi Yanga kwenye mchezo wa raundi ya 11 Jumapili hii.

Baada ya kupisha mechi za kirafiki za kalenda ya FIFA ligi kuu soka Tanzania bara inarejea wikiendi hii kwa michezo kadhaa kupigwa ukiwemo ule wa Jumamosi ambapo Azam FC itakuwa mgeni wa Njombe Mji FC wakati vinara wa ligi hiyo Simba SC watakuwa jijini Mbeya kukabiliana na Tanzania Prisons.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini