Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakinyo akanusha pambano la Ujerumani

Tuesday , 18th Sep , 2018

Mwanamasumbwi Hassan Mwakinyo amekanusha taarifa za pambano lake lililotarajiwa kufanyika Ujerumani Oktoba 20, mwaka huu dhidi, ya Bondia Mjerumani Wanik Awdijan.

Mwanamasumbwi Hassan Mwakinyo.

Akiongea na www.eatv.tv Mwakinyo, (23) amesema haja saini mkataba wowote juu ya pambano hilo na hana taarifa zozote mpaka sasa, huku akidai kuwa hawezi kushiriki mchezo huo kutokana na kuto kulingana kwa viwango (rank) na bondia huyo ambaye hawezi kumuongezea nafasi yoyote kimataifa.

Mwakinyo amesema “ Mimi naomba niwaambie watu kuwa hilo pambano hakuna, sija saini mkataba ni tuhuma tu hizo, labda waniteke nikacheze nikiwa nimefungwa mikono lakini siwezi kwenda kucheza kwasababu sina taarifa nazo, na bondia huyo awezi kunipa credit yoyote ile sababu mtu mwenyewe sio wa rank yangu".

Kuhusiana na pambano dhidi ya May Weather, Mwakinyo amesema anaamini ipo siku ataweza kupambana na bondia huyo kwani anaweza kufika huko huku akiwataka Watanzania kutoa sapoti na kuacha kasumba ya kwamba May Weather anaweza kumpiga kila mtu.

Aidha Mwakinyo amesema mpaka sasa ana Promota mmoja tu ambaye ana haki ya kuzungumzia mapambano yake na ndiye aliyemtafutua pambano lake la uingereza ambaye ni Sheikh Ali Mwazoa, huku akikiri kuendelea na Mkalimani wake.

Pia amesema hawezi kuhamisha makazi yake kutoka Tanga na kuhamia Dar es salaam kutokana na uwepo wa ndugu na marafiki zake waliopo mkoani huko kwani hana nia ya kutengeneza marafiki wapya kwa sasa.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini