Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tumejipanga, tunashinda msimu" - Azam

Monday , 22nd Apr , 2019

Baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Ndanda Fc Mabingwa wa Afrika mashariki Azam fc wamepanga kumaliza hasira zao kwa vinara wa ligi kuu Tanzania Bara Yanga katika mchezo wao wa kiporo utakaopigwa April 29 mwaka huu katika dimba la uwanja wa Taifa.

Meneja wa Azam Philipo Alando amesema kuwa wamerejea Dar es salaam  tayari kwa maandalizi ya kuwavaa Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu kwani wamedhamiria kupata ushindi licha yakuwa wanawaheshimu Yanga SC.

"Ni mechi ngumu sana ukiangalia wao wamejipanga na sisi tumejiapanga sana kuhakikisha tuanshinda nechi hiyo ambayo itatoa taswira kwetu katika kuwania nafasi za juu katika msiamo huo" amesema Alando.

Aidha Alando ameweka wazi kuwa wamepokea kwa furaha taarifa za kutoka CAF juu ya Tanzania kuingiza timu nne katika mashindano ya kimataifa huku akizitaka timu zitakazo pata nafasi hiyo zisibweteke .

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini