Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga wafafanua tiketi zao kuingiliana na Simba

Friday , 9th Aug , 2019

Uongozi wa klabu ya Yanga umefafanua juu ya mkanganyiko uliojitokeza katika mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi, Agosti 4 ambapo tiketi za mashabiki ziliingiliana na tiketi za mchezo wa watani wao Simba.

Dismas Ten (kulia) na baadhi ya viongozi wengine

Akielezea hilo katika mkutano na wanahabari Makao Makuu ya Yanga hii leo kwa niaba ya Yanga, mwakilishi wa kampuni ya Salecom inayouza tiketi katika Uwanja wa Taifa amesema kuwa waliweka mechi mbili katika mfumo ili kuwawezesha mashabiki wa timu zote kununua tiketi kwa urahisi ambapo muda uliowekwa ulipoisha, tayari mechi iliyofuata ikaanza kuonesha tiketi zake.

"Huu mfumo upo kidigitali kwahiyo mechi ya Yanga tulipewa 'kick-off' ya saa 5 kwa maana ya shughuli kuanza kwahyo huwa tunahesabu masaa mawili kwa mchezo kumalizika ndio maana ilipofika saa 7 mfumo ukaanza kuonesha tiketi za mchezo unaofuata kwa kuwa ulishapima kuwa mchezo wa kwanza umemalizika", amesema.

"Lakini kwa kile kipande kidogo kilichoonesha tiketi za mchezo unaofuata, ambapo baada ya kugundua tukarekebisha na mapato yaliyoingia katika mchezo huo yakarudhishwa", ameongeza.

Aidha Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa klabu hiyo imejiandaa vya kutosha kuelekea mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Towship Rollers kesho Jumamosi, huku akiwataka mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani kama walivyofanya kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao