Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Namthamini yaleta faraja Mbeya

Thursday , 3rd Oct , 2019

Kampeni ya Namthamini,  inayoratibiwa na East Africa Television na East Africa Radio yenye lengo la kumuwezesha mtoto wa kike asikose masomo shuleni akiwa katika hedhi, imeendelea kutoa msaada wa taulo za kike (Pedi) kwa shule mbalimbali  nchini ambapo awamu hii imefika Mbeya.

Baadhi ya wanafunzi na walimu mkoani Mbeya

Kampeni hiyo ya Namthamini imezifikia Shule tatu za Sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya  ambazo ni Nsenga, Stellafarm pamoja na Maziwa na kuzungumza na mabinti ambao walieleza changamoto zinazowakabili wanapokuwa kwenye hedhi na namna ambavyo taulo za kike zitawasaidia kuondokana na vikwazo wawapo shuleni.

Walimu wa shule zilizonufaika na msaada wa pedi  wameiomba EATV kuendelea kuzisaidia shule hizo, kwani uhitaji bado ni mkubwa.

Akizungumza kwa niaba ya Ofisa Elimu Sekondari Jiji la Mbeya, Hope Mariki amesema jumla ya Wanafunzi 379  wa kike kutoka Shule za Nsenga, Stellafarm na Maziwa wamenufaika na taulo hizo za kike.

Ni miaka mitatu sasa tangu East Africa Television na East Africa Radio, zianzishe  kampeni ya Namthamini yenye kauli mbiu isemayo Namthamini Nasimama Naye ambapo imefika katika mikoa mbalimbali nchini.

Kwa mwaka 2019 pekee tayari imefika katika mikoa ya Mbeya, Arusha, Dodoma, Tabora na Manyara na kugusa zaidi ya wanafunzi 5000.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria