Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Manara aingilia kati usajili wa kocha Yanga

Monday , 30th Dec , 2019

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara hajauacha salama mchakato wa kumpata kocha mpya unaoendelea ndani ya klabu ya Yanga.

Haji Manara (kushoto), Hersi Said akiwa na kocha wa zamani wa Hispania Vicente del Bosque

Yanga inamsaka kocha mpya atakayerithi mikoba ya kocha Mwinyi Zahera ambaye aliachana na klabu hiyo mwanzoni mwa mwezi Novemba, 2019, ambapo hivi sasa timu ipo chini ya kocha Charles Boniface Mkwasa.

Manara ametupa vijembe kwa mahasimu wake kutokana na picha ambazo zinasambaa mtandaoni zikimuonesha Meneja Masoko wa GSM ambao ni wadhamini wa klabu hiyo akiwa na baadhi ya watu maarufu duniani wakiwemo makocha.

Picha hizo zinahusishwa na mchakato wa Yanga kumtafuta kocha mpya, mchakato huo ukifanywa na wadhamini hao ambao ndio watengenezaji wa jezi za Yanga lakini pia wakifanikisha sajili mbalimbali za dirisha dogo ndani ya klabu

Hayo yanajiri huku homa ya pambano la mahasimu wa jadi, Simba na Yanga ikizidi kupanda, zikiwa zimesalia siku tano kabla ya mchezo huo kupigwa katika Uwanja wa Taifa Jumamosi hii, Januari 4, 2020. Katika msimamo wa ligi, Simba inaongoza ikiwa na pointi 31 baada ya kushuka dimbani michezo 12 huku Yanga ikiwa katika nafasi ya tano baada ya kukusanya pointi 21 katika michezo 10.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao