Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Beka Title awatangazia vita Mr Blue, Nyandu Tozzy

Wednesday , 22nd Jan , 2020

Msanii wa kundi la B.O.B Micharazo Beka Title,  amesema yupo tayari kwa vita muda wowote kuanzia sasa kwa sababu Nyandu Tozzy na Mr Blue wanawaongelea vibaya kwenye mahojiano yao, pia hawajawasaidia walipoachia kazi yao mpya.

Kuanzia upande wa kushoto pichani Beka Title, kati Nyandu Tozzy na kulia ni Mr Blue

Kupitia eNewz ya East Africa TV, Beka Title amesema, Mr Blue na Nyandu Tozzy, wamepaniki kwa kuona kazi yao imefanya vizuri kuliko ngoma zao wao na lolote litakalotokea kwenye kundi lao yupo tayari.

"Nimeona mahojiano ya Nyandu mengi  ana-diss anatuambia sisi watoto wadogo, tulivyotoa wimbo wa sio kinyonge nilitegemea yeye na Mr Blue watasapoti lakini wamekunja, wameweka roho mbaya kama wamefanya hivyo sawa kama mbwai na iwe mbwai tu, mwisho wa siku haya ni maisha kila mtu anatafuta riziki" ameeleza Beka Title.

Beka Title ameongeza kusema "Wale wamepaniki ngoma yetu imehit sana, tumefanya show kadhaa wao zao zimefeli kwa hiyo wamekuwa kama wanatapatapa, sipendi mtu ambaye hataki kuona wenzake wanafanikiwa ndiyo wale jamaa walivyo na kama mtu anataka vita na mimi nipo tayari muda wowote".

Kumekuwa kuna migogoro ambayo inaendelea kwenye  kundi la B.O.B Micharazo, ambapo Mr Blue amesema kuna baadhi ya wasanii wamewapunguza kwenye kundi hilo kutokana na utovu wa nidhamu. 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita