Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Hatua alizozichukua Rais ni faraja' - Lugola

Thursday , 23rd Jan , 2020

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema kuwa ataendelea kumuunga mkono Rais Magufuli hata baada ya yeye kumtengua na kwamba hatua aliyoichukua Rais Magufuli ni njema kwani ina lengo la kujenga safu ya Serikali ya awamu ya Tano.

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola

Lugola ameyabainisha hayo muda mfupi tu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kutangaza hadharani kuwa amepokea barua ya kujiuzulu kwake.

"Mheshimiwa Rais ndiye aliyeniteua  kwenye Baraza la Mawaziri na ndiye ameona anipumzishe, kwangu mimi ni jambo la faraja, hatua alizozichukua ni nzuri zina lengo la kujenga vizuri safu ya Serikali, kama Mbunge niliyepata nafasi ya kumsaidia Rais, nitaendelea kumsaidia na kutumikia Serikali ya awamu ya Tano kwa heshima kubwa" amesema Waziri Lugola.

Katika hotuba yake leo Januari 23, 2020, Rais Magufuli, wakati akizindua nyumba za Maaskari Magereza zilizopo Ukonga Jijini Dar es Salaam, alionesha kutofurahishwa na mwenendo wa viongozi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani, baada ya kusaini mradi Nje ya Nchi, wenye thamani ya zaidi ya Trilioni 1, ambao haukupitishwa na Bunge.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini