Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashahidi kesi ya Zitto waeleza undani wa tukio

Thursday , 2nd Apr , 2020

Jumla ya mashahidi wanane kati ya 10 wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uchochezi inayomkabili Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, tayari wamekwishatoa ushahidi wao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam.

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe

Kesi hiyo ambayo inasikilizwa na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Huruma Shaidi, leo Aprili 2, 2020, imeendelea ambapo mashahidi watatu wametoa ushahidi wao na hivyo kufanya idadi ya mashahidi ambao wamekwishatoa ushahidi kufikia nane.

Mmoja wa mashahidi hao ameiambia Mahakama kuwa alitumiwa na vyombo vya usalama kuwatuliza wananchi, waliokuwa na hasira pamoja na kutumwa afanye uchunguzi ili kupatikana bunduki za Polisi zilizopotea.

Shahidi mwingine katika kesi hiyo ameiambia Mahakama kuwa, alishuhudia nyumba zikichomwa moto na Polisi katika eneo la Mpeta mkoani Kigoma.

Inadaiwa kuwa Oktoba 28, 2018, Zitto akiwa katika Ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam, alitoa kauli za uchochezi kupitia mkutano wake na waandishi wa habari, na miongoni mwa matamshi yaliyomtia matatani ni pamoja na kusema kuwa Jeshi la Polisi lilihusika kufanya mauaji kwa wananchi 100 mkoani Kigoma.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini