Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ntibazonkiza aigomea Yanga

Wednesday , 21st Apr , 2021

Mshambuliaji nyota wa klabu ya Yanga, Said Ntibazonkiza amezua taharuki kwa wanachama na mashabiki wa klabu hiyo baada ya kufunga bao sekunde chache kabla mpira haujamalizika na kulazimisha afanyanyiwe mabadiliko huku akionekana kukosa furaha.

Mshambuliaji wa Yang, Said Ntibazonkiza.

Tukio hilo limetokea usiku wa jana ambapo Yanga walikuwa na mchezao dhidi ya Gwambina na mabingwa hao wakihistoria wa ligi kuu nchini walifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 huku nyota huyo akifunga bao la tatu.

Samba samba na kitendo hicho, Ntibazonkiza aligongesha kidole kichwani kwake chenye maana ya kutumia akili jambo lililozua utata na kuwaacha watu njia panda wakikosa kujua tafsiri halisi kana kwamba anatumia akili ama kitendo cha kuachwa benchi halikuwa sahihi.

Ntibazonkiza alivyohojiwa na Afisa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli juu ya maana ya ushangiliaji huo, Ntibazonkiza hakuwa tayari kufafanua maana yake.

“Kikubwa ni ushindi nadhani ni furaha ya sisi wote, nadhani tungezungumzia sana sana ushindi na tuzidi kumuomba mwenyeenzi Mungu atusaidie tufanye vizuri mchezo unaofuata” Ntibazonkiza alisema.

Jambo hilo lilizua hali ya kutoelewana na baadhi ya wachezaji wenzake akiwemo Deus Kaseke walioonekana kutofurahishwa na tukio hilo mpaka kudhani kuna hali ya kutoelewana kati ya wachezaji wa Yanga jambo ambalo Ntibazonkiza amelikanusha.

“Hapana, kuhusu wachezaji tupo vizuri hakuna tatizo isipokuwa muda mwingine kwenye mchezo kuna mambo mengine yanaweza yakatokea, ni pale pale kwenye mchezo yakishapita basi yanakuwa yameisha na hiyo inatokea sehemu zote ila Alhamdulilah wachezaji hatuna tatizo lolote”.

Baada ya ushindi huo, Yanga imesalia kileleni ikiwa na alama 54 baada ya kucheza michezo 26, michezo 4 nyuma na alama 2 mbele ya mabingwa watetezi Simba wanaoshika nafasi ya pili huku Azam ikiwa nafasi ya tatu kwa alama 50 na Gwambina akiwa amesalia nafasi ya 12 na alama 30.

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita