Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Elimu ya ngono salama kuwaokoa vijana

Thursday , 13th May , 2021

Imeelezwa kuwa ili kukabiliana na ongezeko la maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kwa kundi la vijana hususani watoto wa kike, elimu ya ngono salama haina budi kutolewa kwao ili kupunguza athari za ugonjwa huo.

Vijana wakiwa kwenye mkutano(Picha kutoka mtandaoni)

Akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Supa Breakfast, Mwanamitindo Mashuhuri nchini Tanzania, Nancy Sumari, amesema kuwa ipo haja ya wazazi kuwa karibu na watoto wao kwani inawajengea kujiamini na kuwaepusha na vishawishi vinavyoweza kupelekea athari mbalimbali ikiwemo kupata maambukizi ya Ukimwi.

"Ili kuepukana na janga la Ukimwi elimu ya ngono salama ni muhimu kwasababu kadri tunavyoendelea linazidi kutuwathiri vijana lazima tuwatahadharishe watoto wetu," amesema Nancy.

Pia mwanamitindo huyo amesema ipo haja ya ajenda iliyotumika miaka ya nyuma ya kulea watoto kama kijiji kurudi upya ili kukilinda kizazi hiki ambacho kipo hatarini.

"Waafrika tuna tamaduni ya kulea watoto kama tupo kwenye kijiji fulani yaani mtoto wakwako ni wa mwenzako, nafikiri hii iliwahi kuwa ajenda yetu kitaifa tuna kila sababu ya kurudi huko tukalinda watoto wetu," amesema Nancy Sumari.

Kwa upande wake mwelimishaji wa vijana kutoka Sitetereki, Victor Mushi ameeleza kuwa  wazazi wanapaswa kuwahusisha vijana wao katika maamuzi wanayoyafanya ambayo yanahusu mustakabali wa maisha yao na kuondoa hofu waliyonayo kwani itasaidia katika kuwaelimisha na kuwasaidia kujikinga zaidi na athari mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria