
Picha ya Sean Kingston
Mmiliki huyo wa hits kama ‘Beautiful Girls na Eenie Meenie’ ameeleza kuwa ujio wa album hii ya nne utarejesha mahusiano yake na mashabiki wake ambayo yalikuwa yamefifia kutokana na kukaa kimya kwa zaidi ya miaka 8.
Mkongwe huyo aliwahi kufanya kazi na wasanii wenye majina makubwa kwenye muziki kama Trippie Redd, Bow Wow, Brandy, Flo Rida, Chris Brown, Sean Paul na Nicki Minaj huku akijigamba kuwa sauti yake haijabadilika sana na bado anaishi kwenye mizizi yake yenye nguvu ya Jamaika.