
Msanii Alikiba
"Hajabebwa na international collabo, hajatumia Niger flavour wala amapiano, hajatumia vionjo vya Amerika, hana janja janja, hafanyi kiki,hatii huruma zaidi ya kusimama na muziki wake na mashabiki zake na wala hatumii nguvu kubwa ku-push kazi zake lakini anashinda Tuzo za kimataifa na anafanya shows za kimataifa halafu yupo on top kwenye game miaka 18 sasa hajawahi kushuka wala kuchuja ndio maana anaitwa mfalme wa muziki Afrika".