Friday , 13th Aug , 2021

Msanii Gamc Wanyatu ambaye anafanya mishe zake nchini Denmark anasema muziki wa wasanii wa BongoFlava unapigwa sana katika nchi hiyo kwa sasa.

Picha ya Gamc Wanyatu na Zuchu

Gamc Wanyatu anasema ngoma za wasanii kama Diamond Plantnumz Platnumz, Alikiba, Harmonize, Darassa, Mr Blue, Fid Q, Nandy na Zuchu ngoma zao zinapendwa sana kwenye Radio,TV na Club.

Pia ameongeza kusema Zuchu ame-take over Denmark kwa sababu Denmark wanapenda sana nyimbo zake kwa sasa, zinapewa time kubwa na anajitahidi.

Zaidi mtazame hapo chini kwenye video.