Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zaka zakazi atoa wito kuhusu takwimu za TPLB

Friday , 24th Sep , 2021

Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano wa Azam FC, Zakaria Thabit ametoa wito kwa bodi ya Ligi kuu nchini, (TPLB), kutoa uhuru kwa timu za nyumbani kusimamia maandalizi ya mechi zao, ikiwemo promosheni, bei ya viingilio ili kuweza kuimarisha mapato kwa vilabu.

Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano wa Azam FC, Zakaria Thabit.

Kauli hii inakuja siku moja baada ya TPLB, kutoa takwimu za mshabiki kwa kila klabu nchini pamoja na vipato walivyovuna kutokana na mauzo ya tiketi za viwanjani kwa msimu wa 2020/2021 huku, Azam wanashikilia nafasi 17 kati ya 18 wakiwa na idadi ya mashabiki 11,456.

Thabit amesema kuwa iwapo vilabu vya ligi kuu vitapewa nafasi na uhuru wa kusimamia maandalizi ya mechi zao, zitaweza kuvuna mapato zaidi ya takwimu zilizotolewa jana, kwakuwa wataelekeza nguvu zaidi kuwashawishi mashabiki kuja uwanjani tofauti na sasa ambapo Bodi ya ligi inasimamia maandalizi hayo nakupanga bei za tiketi ambayo si rafiki kwa  maendeleo ya vilabu.

Msemaji wa wanalamba lamba hao wa chamanzi, ameomba Bodi ya ligi kuu kurejea upya ratiba ya Azam, hususani kwenye michezo yao ya nyumbani ambazo nyingi huchezwa majira ya usiku na katikati ya juma zikawia ugumu watazamaji kujitokeza kutokana na majukumu yao binfasi.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita