Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtuhumiwa wa mauaji ya Agnes Tirop akamatwa

Friday , 15th Oct , 2021

Polisi nchini Kenya wamefanikiwa kumkamata Emmanuel Ritoch ambaye anayetuhumiwa kwa kesi ya mauaji ya mke wake ambaye alikuwa mwanariadha wa kimataifa nchini Kenya, Agnes Tirop kilichotokea Jumatano Oktoba 13, 2021.

Askari Mkuu wa kituo chas Polisi Changamwe, Tom Makori amethibitiha kukamatwa na kusekwa rumande kwa Emmanuel amliyekamatwa pwani ya Mombasa akijaribu kutokroka nchini Kenya.

Askari huyo amesema, “Mtuhumiwa amekamatwa leo na yupo rumande kwenye kituo cha Polisi cha Changamwe. Ninathibitisha kuwa tunamshikilia mtuhumiwa wetu na yupo ruamande” Amesema Makori.

Nae Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, George Kinoto amesema mtuhumiwa atafanyiwa mahojiano na kukutwa na mkono wa Sheria endapo akikutwa hatiani kwa kosa la mauaji ya mke wake Agnes Tirop aliyeacha simanzi kubwa.

Ikumbukwe kuwa, Askari Mkuu wa kituo cha Polisi Changamwe, Tom Makori alithibitisha kuwa siku ya Jumatano Oktoba 13, 2021 Agnes Tirop alikutwa amefariki nyumbani kwake maeneo ya Iten.

Polisi wakaendelea kwa kusema mwili wa marehemu ulikutwa ukiwa umetoka damu nyingi na kuonekana umechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni na tumboni jambo ambalo linaaminika limechukua uhai wa Mwanariadha huyo.

Tirop alishika nafasi ya pili  mara mbili kwenye mashindano ya riadha ya Dunia na kushinda medali ya shaba mwaka 2017 na 2019 pamoja, kushika nafasi ya nne kwenye mbio za mita 5,000 Tokyo Olympic mwezi Agosti 2021 na kuweka rekodi ya Dunia ya kushiriki mbio za mita 10,000 nchini Ujerumani.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera