Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatua zinazoendelea ujenzi wa taifa la kidijitali

Wednesday , 20th Oct , 2021

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa TEHAMA 2021, Mulembwa Munaku, amesema jitihada mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia taifa la kidijitali.

Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Habari, Teknolojia na Mwasiliano

Munaku ameyasema hayo leo kwenye Ukumbi wa Simba ndani Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha wakati akieleza muelekeo wa kidijitali kama taifa na jitihada mbalimbali zinazoendelea katika kufikia uchumi wa kidijitali.

''Kama ambavyo tunafahamu 75% ya wananchi ni vijana, ni wazi tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye TEHAMA ili kuwawezesha kujikwamua ikiwemo kupata ajira na kujiajiri wenyewe kupitia teknolojia katika ulimwengu huu wa kidijitali, kwasababu ni asilimia 25 ndio wanapata ajira rasmi,'' amesema Mulembwa Munaku.

Aidha ameongeza kuwa, ''Mahitaji bado ni makubwa kwenye uwekezaji wa kufikisha 'internet' kwenye maeneo ya vijijini, hata hivyo tunayashukuru makampuni mbalimbali ya mitandao ya simu kwa kuendelea kufikisha huduma katika maeneo hayo,''.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita