Moto ukiwaka ndani ya Soko la Karume
Tazama hali ilivyo kwenye soko hilo
Soko la Karume lililopo Ilala jijini Dar es salaam, limeteketea kwa moto asubuhi ya leo Januari 16, 2022. Chanzo cha moto bado hakijajulikana. Tutaendelea kukuletea taarifa zaidi.
Moto ukiwaka ndani ya Soko la Karume
Tazama hali ilivyo kwenye soko hilo