
Bei ya mafuta ya ndege imepanda kutoka Naira 190 za Nigeria hadi Naira 700 kwa lita bei ambayo wanadai hawawezi kuimudu
Wizara ya usafiri wa anga imeutolea mwito muungano huo kuzingatia athari za kusitisha safari za ndege kwa Wanigeria na wasafiri wa kimataifa.