Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufaransa yaipa Tanzania mkopo wa bilioni 195

Tuesday , 21st Jun , 2022

Tanzania na ufaransa kupitia shirika lake la Maendeleeo AFD zimesaini mkopo wa masharti nafuu wa Shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji wa maji safi na usafi wa mazingira katika mkoa wa shinyanga.

Wakisaini makubaliano hayo jijini Dar es salaam katibu Mkuu wa Wizara ya fedha na mipango Emmanuel Tutuba amesema utekelezaji wa mradi huo wa maji unakwenda kuongeza upatikanaji wa maji kwa asilimia 95 katika manispaa ya shinyanga na watu zaidi ya laki tatu watanufaika na huduma ya maji safi na salama mkoani humo.

Hata hivyo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji mhandisi Anthony Sanga amesema , kukamilika kwa mradi huo pia kutasaidia kuongeza uzalishaji wa maji kutoka mita za ujazo 25,877 kwa siku hadi kufikia mita za ujazo 33,944 kwa siku.

Kwa upande wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Nabil Hajloui amesema kuwa lengo  kuu la ufadhili huo ni kuboresha hali ya maisha ya wakazi pamoja na maendeleo ya kiuchumi kupitia upanuzi na ukarabati wa maji ya kunywa na huduma za usafi wa mazingira

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera