Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shaka ataka wasomi wasio na ajira watambuliwe

Sunday , 7th Aug , 2022

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka, ametoa mwelekeo wa kutatua changamoto ya ajira kwa vijana nchini hasa wasomi wa vyuo vikuu huku akitaka wasomi hao watambuliwe na kisha wawezeshwe na hatimaye kujiajiri.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Shaka Hamdu Shaka,

Shaka ameyabainisha hayo alipofanya ziara ya kutembelea maonesho ya kilimo maarufu Nanenane Kanda ya Mashariki yanayofanyika mkoani Morogoro ambapo amesema kwenye maonesho hayo liko jambo la faraja ambalo ameliona.

"Tumewatembelea vijana wadogo ambao wote na kila mmoja ameweza kutafsiri maono ya Rais kwa aidha kwa kufikiria kuanzisha kitengo cha kuwasaidia vijana wenzake au kuwekeza kwenye masuala haya ya kilimo," amesema Shaka

"Kila mwaka vijana wanahitimu, hivyo nadhani tukiwekeza kwanza kuwa na takwimu sahihi za vijana wangapi wanahitimu lakini pia kuwatambua hao vijana maeneo wanayotoka kisha serikali ikatenga maeneo maalum kila kijana ikampa wastani wa heka japo tano,”alisema Shaka.

Ameongeza kuwa baada ya kutengwa kwa maeneo maalumu  na mashirika ya fedha nayo yakatoa fedha kwa vijana hao anaamini kwa changamoto ya ajira iliyopo wanaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao