Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CRDB Marathon yafana

Monday , 15th Aug , 2022

Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikianana wadau , taasisi na sekta binafsi katika kutafuta suluhisho la matatizo mbalimbali yanayoikumba jamii haswa katika maeneo ya afya, elimu na huduma za jamii.

Mkurugenzi wa benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela

Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameyasema hayo hivi karibuni mkoani Dar es Salaam kwenye mbio za marathon zilizoandaliwa na benki ya CRDB, mbio  zilizolenga kufadhili matibabu ya akinamama wenye ujauzito hatarishi, ikiwemo pia watoto wenye matatizo ya moyo, mbio zilizofanyika Oysterbay Masaki, ambapo zaidi ya wakimbiaji 6000 kutoka ndani na nje ya nchi walishiriki

"Ijapokua kwa sasa hatuna takwimu maalum kuonyesha idadi ya wanawake wenye ujauzito hatarishi, ila sote ni mashahidi kuwa hivi akribuni tumeshuhudia wakinamama wengi wakipoteza maisha kutoana na mimba hatarishi," amesema Dkt. Mpango

Aidha Dkt Mpango amezitaka taasisi na sekta binafsi kuendelea kutafuta suluhisho la changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii, akitolea mfano benki ya CRDB ambayo kupitia mbio hizo imeweza kutoa shiligi bilioni 1.

"Benki ya CRDB imekua msitari wa mbele kutatua changamoto za jamii, hiyo ni mbali na kutoa ajira na fursa mbalimbali, mpaka sasa CRDB imesaidia kutoa bilioni 1 kusaidia watoto wauaoumwa moyo katika kituo cha JKCI" ameongeza Dkt Mpango.

Mkurugenzi wa benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela, amesema kuwa benki hiyo inajivunia ushiriki wa wadau mbalimbali katika kusaidia jamii, ambapo mbio hizo zinazofanyika kwa mwaka wa tatu sasa zimekua zikiongeza idadi ya washiriki, ambapo mwaka huu zaidi ya washiriki 6,000 walipata wasaawa kushiriki na kufanilisha malengo ya kukusanya fedha.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria