Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wamachinga Dar es salaam waomba ulinzi

Tuesday , 4th Oct , 2022

Viongozi wa chama cha wamachinga mkoa wa Dar es salaam wametaka kukomeshwa mara moja kwa makundi ya kihalifu maarufu kama Panyaroad ambapo wamesema baadhi ya wamachinga wamekuwa ni wahanga na makundi hayo na hivyo kuwarudisha nyuma kiuchumi

Wakizungumza na waandishi wa habari leo mwenyekiti wa wamachinga mkoa wa Dar es salaam Namoto Yusuph Namoto licha ya kulipongeza Jeshi la polisi kwa jitihada zake za kupambana na makundi hayo ya kihalifu lakini wametoa wito kwa jamii na wanasiasa kuacha siasa chafu ambazo zitaathiri maana nzima ya Jeshi la polisi katika kusambaratisha makundi hayo

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa wamachinga Steven Simbo amewashauri vijana wanaofanya uhalifu kuacha mara moja na badala yake kwenda kwenye soko hilo kutafuta fursa za kufanya biashara kwani wapo vijana ambao walikuwa wahalifu lakini Kwa sasa waneungana na wenzao kufanya biashara ndogondogo na kuachana na uhalifu

Naye Bakari Said Mkupa ambaye ni mwenyekiti wa wamachinga wilaya ya Ilala ameitoa hofu serikali kwamba panyarroad hawawezr kujichanganya na wafanyabiashara hao Ili kufanya uhalifu kwa kuwa tayari wana kanzi data inayowatambua wafanyabiashara hao hivyo haitakuwa rahisi kufanya uhalifu

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini