Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfumo wa kuhifadhi Mazao Ghalani uzingatiwe.

Wednesday , 5th Apr , 2023

Bodi ya nafaka na mazao mchanganyoko imesema mazao mengi ya Wakulima yanaharibika na kuoza kwasababu hawazingatii mfumo wa kuhifadhi mazao yao katika maghala ya kuhifadhia nafaka Hali inayodidimiza ukuaji wa Kilimo chenye tija Kwa maendeleo ya taifa

Pichani: kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko John Maige.

Ujumbe huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko John Maige wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa makubaliano na Kampuni ya KPMG Kwa lengo ya kuandaa mpango makakati wa awamu ya pili wa kutanua wigo wa kuuza nafaka zaidi ndani na nje ya nchi.

Amesema Wakulima wanatakiwa kuyatumia maghala ya kihifadhia nafaka yaliyo katika kanda Tano za kilimo ili kuwa na uhakika wa kutunza mazao yao katika hali ya usalama Ameongeza kuwa katika mpango mkakati wa awamu ya pili utakaotekelezwa Kwa kipindi Cha miaka mitano Hadi 2028 utagharimu zaidi ya shilingi Milioni 200 ambao utasaidia kutafikia masoko makubwa zaidi ya kikanda na kimataifa

Mkurugenzi wa Kampuni ya kitaifa ya kutoa huduma ya kuandaa mpango mkakati Kwa mashirika ya umma na yasiyo wa kiserikali Adolf Boyo amesema watahakikisha wanashirikiana kikamilifu na Bodi ya nafaka ili kuongeza tija katika sekta ya Kilimo

Pamoja ya mambo mengine katika utekelezaji wa mkakati wa awamu ya kwanza imebainika kuwa Wakulima wengi hawana taarifa zaidi kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazao yao kwenye maghala hivyo mpango huo wa pili utawawezesha Wakulima kuyafikia maghala hayo ili kuhifadhi nafaka zao

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera