Wanne wa familia moja wajeruhiwa na Fisi

Watu wanne wa familia moja  wakazi wa kijiji  cha Kilino  kata ya Isanzu Wilayani Nzega Mkoani Tabora wamejeruhiwa vibaya  na Fisi maeneo  mbalimbali ya miili yao  wakati wakiwa shambani wakinyunyuzia dawa katika  mimea ya pilipili hoho  

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS