
Sehemu ya madarasa ya shule ya msingi Yuli
Shule ya msingi Yuli ipo Kata ya Mlale wilayani Ileje mkoani Songwe ambapo ina wanafunzi 213 na ina vyumba 8 vya madarasa huku vyumba vitatu vikiwa ni chakavu hali inayoleta hofu kwa wanafunzi kutumia madarasa hayo na kufanya wananchi kupaza sauti kwa serikali.