Wadau wa maendeleo waombwa kuchangia Sensa

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na Washirika wa Maendeleo wakiwemo Mabalozi wakati wa mkutano wa majadiliano ya uchangiaji wa bajeti ya zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika tarehe 23 Agosti 2022, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ametoa wito kwa washirika wa maendeleo kuchangia kwa hali na mali kiasi cha dola milioni 80 za Marekani kwa ajili ya kufanikisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linayotarajiwa kufanyika tarehe 23 Agosti mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS