Hatma ya miaka 30 ya Sabaya ni leo
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, inatarajiwa kutoa hukumu ya rufaa ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, na wenzake wawili waliyoikata ili kupinga hukumu ya kifungo cha miaka 30 kila mmoja iliyotolewa Oktoba 2021.