Rais Samia akutana na wafanyabiashara wa Ufaransa

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewakaribisha Rasmi Tanzania, Ujumbe wa Shirikisho la Wafanyabiashara wa Sekta Binafsi kutoka nchini Ufaransa MEDEF pamoja na Taasisi ya Biashara ya Ufaransa Business France, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS