Simba kushitakiwa CAF kikosi cha Simba. Mtendaji ,mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la nchini Afrika Kusini Tebogo Motlanthe amesema kitendo cha Klabu ya Simba kutoka Tanzania kuchoma kitu katikati ya Uwanja ni jambo la aibu na si la kiu ana michezo. Read more about Simba kushitakiwa CAF