Simba waingia kambini,Berkane kutua kesho Dsm

kikosi cha klabu ya Simba Sc

Klabu ya Simba imeingia kambini leo kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa makundi kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Rs Berkane ya Morroco kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa siku ya jumapili saa kumi kamili jioni kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS