Utafiti ufanyike, ni hatari sana - Lema

Godbless Lema

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, amesema kuwa inabidi ufanyike utafiti wa haraka wa afya ya akili za watu, kufuatia uwepo wa matukio mengi nchini ya watu kujiua, watoto kuua wazazi wao ama wazazi kuua watoto wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS