Polisi wataja majina ya waliofariki ajalini Kagera

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera, Awadhi Haji

Watu wanne wamepoteza maisha baada ya gari la mizigo walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka, Desemba 23 mwaka huu, majira ya saa 03:00 asubuhi, katika mteremko wa Kishoju, Kata ya Kihanga wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS