2022 tuendelee kuwa wamoja - Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewatakia heri za sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, Watanzania wote  na kuwataka kusherehekea kwa amani na utulivu na kusisitiza umoja kwa mwaka 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS