Tuchel aijia juu FA ya Uingereza

Kocha mkuu wa Chelsea, Thomas Tuchel amelishutumu vikali Shirikisho la soka nchini Uingereza kutokana kukataa maombi ya kuhairisha michezo yao kutokana na kukithiri kwa majeruhi na maambukizi ya UVIKO-19 kwenye kambi ya timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS