Durrant wa kwanza NBA Msimu huu 2021-22

(Kevin Durrant akiwa na mpira na kujaribu kumpita mlinzi wa Detroit Piston)

Nyota wa Brooklyn Nets, Kevin Durrant ameiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa alama116-104 dhidi ya Piston Detroit alfajiri ya leo kwenye muendelezo wa michezo ya mzunguko wa 27 wa NBA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS