Marcedes kuukatia rufaa ushindi wa Verstappen F1

(Max Verstappen (ushoto)na Lewis Hamilton (kulia).

Baada ya Max Verstappen kushinda mashindano ya mbio za magari ya Abu Dhabi Grand Prix na kushinda ubingwa wa Dunia wa Formula 1 kwa mara ya kwanza, kambi ya Lewsi Hamilton imepanga kukta rufaa kuupinga ushindi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS