Mtibwa Sugar yazinduka kwa mara ya kwanza Ligi Kuu
Kocha Mkuu wa Mtibwa Jospeh Marius Omog(Kushoto) akiteta na msaidizi wake Awadh Juma(Kulia) katika mazoezi ya kikosi chao.
Klabu ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza katika Ligi Kuuu Tanzania bara baada ya hii leo kuicharaza Biashara Mara United kwa bao 2-0.