Mkulima arudisha begi la pesa aliloliokota
Mkulima mmoja nchini Benin, Baraka Amidou (37), amepokea tuzo ya heshima kutoka kwa mamlaka ya nchi yake, baada ya kukabidhi begi lenye mamilioni ya pesa kwa mmiliki wake, aliloliokota wakati akitokea shamba kuelekea nyumbani.

