Rais Samia akihutubia kwenye hafla ya kufunga mafunzo ya maofisa wa Polisi, Kurasini
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kutofurahishwa na vitendo vya ukiukwaji wa maadili ya kazi vinavyofanywa na baadhi ya askari polisi nchini hasa wakiwa katika mazingira ya kazi.