Kisa GSM Simba hatarini kupigwa faini ya milioni 1
Klabu ya Simba SC imegoma kufanya mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kesho wa wa Ligi Kuu Tanzania bara ambao ni mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, sababu za kugomea mkutano huo ni uwepo wa mabango yenye nembo za GSM kwenye chumba cha mkutano.