Kisa GSM Simba hatarini kupigwa faini ya milioni 1

Viongozi wa Simba Kuliani na Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez, kushoto ni Crescentius Magori mtendaji mkuu wa zamani wa klabu hiyo

Klabu ya Simba SC imegoma kufanya mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kesho wa wa Ligi Kuu Tanzania bara ambao ni mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, sababu za kugomea mkutano huo ni uwepo wa mabango yenye nembo za GSM kwenye chumba cha mkutano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS