Mbowe na wenzake wakutwa na kesi ya kujibu
Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewakuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe pamoja na wenzake watatu katika kesi inayowakabili namba 16 ya mwaka 2021.

